Ukweli Muhimu Kwa Ajili Ya Waumini Wapya
3/5
()
About this ebook
Dag Heward-Mills ni mwandishi wa vitabu vingi, ikiwemo kitabu kinachouzwa sana "Uaminifu na Ukosefu wa Uaminifu". Yeye ni mwanzilishi wa dhehebu lenye makanisa zaidi ya elfu moja linaloitwa "The Lighthouse Chapel International". (Kanisa la Kimataifa la Lighthouse). Dag Heward-Mills, mwinjilisti wa kimataifa huhudumu katika Mkutano wa Injili wa Kimataifa na Yesu Mponyaji na mikutano duniani kote. kwa taarifa zaidi, tembelea www.daghewardmills.org.
Dag Heward-Mills
Bishop Dag Heward-Mills is a medical doctor by profession and the founder of the United Denominations Originating from the Lighthouse Group of Churches (UD-OLGC). The UD-OLGC comprises over three thousand churches pastored by seasoned ministers, groomed and trained in-house. Bishop Dag Heward-Mills oversees this charismatic group of denominations, which operates in over 90 different countries in Africa, Asia, Europe, the Caribbean, Australia, and North and South America. With a ministry spanning over thirty years, Dag Heward-Mills has authored several books with bestsellers including ‘The Art of Leadership’, ‘Loyalty and Disloyalty’, and ‘The Mega Church’. He is considered to be the largest publishing author in Africa, having had his books translated into over 52 languages with more than 40 million copies in print.
Related to Ukweli Muhimu Kwa Ajili Ya Waumini Wapya
Related ebooks
Kanisa Kubwa Rating: 4 out of 5 stars4/5Mpakwa Mafuta na Upako Wake Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWaambie Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWajue Maadui Zako Wasioonekana... Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsBadilisha Huduma yako ya kiuchungaji Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWengine... Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsNamna Unavyoweza Kuwa na Muda wa Faragha Mzuri na Mungu Kila Siku Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKuanzisha Kanisa Rating: 4 out of 5 stars4/5Kusamehe Kumerahisishwa Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMguso Mzuri Wa Upako Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWale wanaokushitaki Rating: 5 out of 5 stars5/5Kurudi Nyuma Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMrembo, Mnyama na Mchungaji Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsVitengo vya Ujenzi Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsJivutie Upako Rating: 4 out of 5 stars4/5Mwongozi Wa Roho: Safari Maishani Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMmoja Wenu Ni Shetani Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsBinti Unaweza Kufanikiwa Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWale Wanaojifanyisha Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKitabu Cha Mistari Ya Bibilia Ya Kukari Rating: 3 out of 5 stars3/5Wale Wana ambao ni Hatari Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWale ambao ni Wajinga Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsStadi ya Huduma Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsAnagkazo (Nguvu ya kushurutisha!) Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsImani Kwa Wale Walioitwa na Kuchaguliwa na Mungu Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsStadi ya Uchungaji Rating: 5 out of 5 stars5/5Wakristo:Mabalozi wa Ufalme wa Mungu Maagizo Kuhusu Kuishi kama Mkristo. Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsHatua Za Kufikia Upako Rating: 5 out of 5 stars5/5Maono Niliyoona Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsNamna Unavyoweza Kuwa Mkristo Aliyehodari Rating: 3 out of 5 stars3/5
Reviews for Ukweli Muhimu Kwa Ajili Ya Waumini Wapya
1 rating0 reviews
Book preview
Ukweli Muhimu Kwa Ajili Ya Waumini Wapya - Dag Heward-Mills
SURA YA 1
Jinsi ya kuwa Mkristo Aliyezaliwa Mara ya Pili
Ikiwa unataka kuzaliwa mara ya pili, ni lazima ufanye mambo mawili muhimu:
i. Ni lazima kwanza umwamini Yesu Kristo kama Mwana wa Mungu.
Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo amezaliwa na Mungu:…
1 Yohana 5:1
ii. Pili, ni lazima umkaribishe moyoni mwako na maishani mwako. Ni lazima uombe ombi kamahili huku ukimaanisha kutoka katika kilindi cha moyo wako:
Bwana Yesu, naja mbele zako nikiwa mwenye dhambi, aliyepotea na kuhukumiwa kwenda Jehanamu. Ninatubu dhambi zangu naninakuomba unisamehe. Ninaamini kwa moyo wangu wote ya kuwa ulikufa msalabani na ukafufuka tena kwa ajili ya dhambi zangu. Ninakufungulia moyo wangu nakukupokea kama Bwana na mwokozi wangu. Tafadhali ninakuombauyadhibiti maisha yangu na unifanye vile utakavyo niwe. Kuanzia leo, mimi ni wako na wewe ni wangu. Asante Baba kwa karama hii nzuri ya wokovu, Amina.
Nini Hufanyika Unapozaliwa Mara ya Pili?
Roho wa Mungu atakushukia, na kuingia moyoni mwako. Kisha sehemu yako ya ndani itazaliwa upya au itazaliwa tena.
Mungu anakupa moyo na roho mpya kwa pamoja!
Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu, nami nitawapa moyo wa nyama. Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.
Ezekieli 36:26-27
Ukiwa na roho mpya, unakuwa mtu mpya au kiumbe kipya.Uko tayari kuishi maisha mapya. Maisha haya mapya yanawezekana kwa sababu wewe ni mtu mpya mwenye moyo mpya.
Kuzaliwa mara ya pili ni rahisi jinsi hiyo. Watu wanataka kufanya mambo magumu. Lakini kuzaliwa mara ya pili ni rahisi sana!
Je, Mkristo Aliyezaliwa Mara ya Pili ni Nani?
Mkristo aliyezaliwa mara ya pili ni mtu aliyempokea Yesu Kristo maishani mwake na aliyeamua kuishi maisha yanayodhibitiwa na Neno la Mungu na chini ya mwongozo wa Roho Wa Mungu.