Professional Documents
Culture Documents
UTANGULIZI
Katika Mkutano wake wa 102 uliofanyika tarehe 04/11/2014, Baraza
la Mitihani la Tanzania liliidhinisha kutangazwa kwa matokeo ya
Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi ulifanyika kuanzia tarehe 10
hadi 11 Septemba, 2014. Watahiniwa walifanya mtihani huo kwa
kutumia Karatasi Maalum za Optical Mark Reader- OMR ambazo
zilisahihishwa kwa kutumia Mfumo wa kompyuta. Matumizi ya
teknolojia ya OMR kwenye Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi
yalianza mwaka 2012.
2.0
USAJILI WA WATAHINIWA
Jumla watahiniwa 808,085 wa Shule za Msingi walisajiliwa kufanya
mtihani huo wakiwemo wasichana 429,624 sawa na asilimia 53.17 na
wavulana 378,461 sawa na asilimia 46.83. Kati ya watahiniwa
waliosajiliwa, watahiniwa 691 walikuwa ni wenye uono hafifu,
watahiniwa 87 walikuwa ni wasioona, watahiniwa 374 wenye
matatizo ya kusikia, watahiniwa 252 wenye mtindio wa ubongo na
watahiniwa 27 wenye ulemavu zaidi ya mmoja.
Watahiniwa 792,122 sawa na asilimia 98.02 ya waliosajiliwa
walifanya mtihani. Kati yao wasichana walikuwa 422,625 sawa na
asilimia 98.37 na wavulana walikuwa 369,497 sawa na asilimia
97.63. Watahiniwa 15,963 sawa na asilimia 1.98 hawakufanya
mtihani kutokana na sababu mbalimbali, zikiwemo utoro na ugonjwa.
1
3.2
Wavulana
madaraja
Wasichana
Idadi
Asilimia
Idadi
Asilimia
6,378
55,460
163,071
224,909
135,242
9,346
1.73
15.01
44.13
60.87
36.60
2.53
3,953
43,329
179,201
226,483
186,697
9,441
0.94
10.25
42.40
53.59
44.18
2.23
mbalimbali
Jumla
Idadi
10,331
98,789
342,272
451,392
321,939
18,787
Asilimia
1.30
12.47
43.21
56.99
40.64
2.37
Ufaulu Kimasomo
Takwimu za matokeo zinaonesha kuwa ufaulu katika masomo
yote umepanda kwa asilimia kati ya 0.64 na 8.94 ikilinganishwa
na mwaka 2013. Watahiniwa wamefaulu zaidi katika somo la
Kiswahili ambapo ufaulu ni asilimia 69.70 na somo walilofaulu
2
4.0
YEAR
CLEAN
PASSED (A-C)
GRADE D
GRADE E
2013
844,704
583,348
69.06
207,635
24.58
53,721
6.36
2014
791,924
552,003
69.70
198,993
25.13
40,928
5.17
2013
844,678
300,001
35.52
437,695
51.82
106,982
12.67
2014
791,910
307,613
38.84
431,163
54.45
53,134
6.71
2013
844,708
447,657
53.00
347,014
41.08
50,037
5.92
2014
791,938
454,043
57.33
296,592
37.45
41,303
5.22
2013
844,690
241,741
28.62
452,937
53.62
150,012
17.76
2014
791,869
297,411
37.56
387,489
48.93
106,969
13.51
2013
844,570
401,059
47.49
378,834
44.86
64,677
7.66
2014
791,932
434,679
54.89
297,167
37.52
60,086
7.59
5.0
NAMBA
JINA LA SHULE
IDADI
MKOA
NAFASI
PS0904095
TWIBHOKI
33
MARA
PS1303065
MUGINI
40
MWANZA
PS1307121
PEACELAND
17
MWANZA
PS1304001
ALLIANCE
25
MWANZA
PS1701035
KWEMA
50
SHINYANGA
PS0501188
ST SEVERINE
53
KAGERA
PS1701064
ROCKEN HILL
58
SHINYANGA
PS0202083
TUSIIME
168
DAR ES SALAAM
PS0702252
IMANI
29
KILIMANJARO
PS1701062
PALIKAS
19
SHINYANGA
10
NAMBA YA
MTAIHINIWA
PS0203012166
PS0203077020
PS0401041023
PS0501188049
PS0904095021
PS0904095022
PS0904095023
PS1701035041
JINA LA MTAHINIWA
NAMBA YA
MTAHINIWA
1.
PS0202109010
2.
PS0203058021
3.
PS0401043026
4.
PS0501188007
5.
PS0501188013
6.
PS0501188017
7.
PS0501188018
8.
PS0501188022
9.
PS0501188023
10. PS0504092004
MKOA
JINA LA SHULE
KIMARA-'B'
PARADIGMS
DAR ES
SALAAM
DAR ES
SALAAM
ST. CHARLES
IRINGA
ST. SEVERINE
KAGERA
TWIBHOKI
MARA
TWIBHOKI
MARA
TWIBHOKI
MARA
KWEMA
SHINYANGA
Orodha ya Wavulana
Hisabati
S/No
katika somo la
JINA LA MTAHINIWA
katika
JINA LA SHULE
somo la
MKOA
SABISA
MOUNTEVEREST
DAR ES
SALAAM
DAR ES
SALAAM
ST. DOMINICSAVIO
IRINGA
ST. SEVERINE
KAGERA
ST. SEVERINE
KAGERA
ST. SEVERINE
KAGERA
ST. SEVERINE
KAGERA
ST. SEVERINE
KAGERA
ST. SEVERINE
KAGERA
OMUKALIRO
KAGERA
S/No
11.
12.
13.
14.
15.
16.
17.
18.
19.
20.
21.
22.
23.
24.
25.
26.
6.0
NAMBA YA
MTAHINIWA
PS0504092009
PS0504092015
PS0504092016
PS0504092017
PS0504113021
PS0702202029
PS0702202042
PS0904095007
PS0904095017
PS0908004020
PS1101170004
PS1104004004
PS1701035017
PS1703005032
PS2401020013
PS2405080028
JINA LA MTAHINIWA
JINA LA SHULE
MKOA
OMUKALIRO
KAGERA
OMUKALIRO
KAGERA
OMUKALIRO
KAGERA
OMUKALIRO
KAGERA
TEGEMEO
KAGERA
SCOLASTICA
KILIMANJARO
SCOLASTICA
KILIMANJARO
TWIBHOKI
MARA
TWIBHOKI
MARA
BUHEMBA
MARA
ST. MARY'S
MOROGORO
UHURU
MOROGORO
KWEMA
SHINYANGA
BUGARAMA
SHINYANGA
IHULIKE
GEITA
KASANDALALA
GEITA
IDADI
WALIOFAULU
(A-C)
ASILIMIA
NAFASI
DAR ES SALAAM
59,576
46,434
77.94
KILIMANJARO
37,918
26,192
69.08
MWANZA
53,596
37,017
69.07
IRINGA
21,363
14,650
68.58
ARUSHA
34,348
23,250
67.69
TANGA
39,066
26,261
67.22
NJOMBE
17,115
11,389
66.54
KAGERA
37,306
24,501
65.68
GEITA
27,854
17,560
63.04
MTWARA
25,015
15,608
62.39
10
7.0
WILAYA
IDADI
WALIOFAUL
U
(A-C)
1,345
BIHARAMULO (KAGERA)
ASILIMIA
NAFASI
1,207
89.74
2,680
2,389
89.14
MOSHI(M) (KILIMANJARO)
3,565
3,145
88.22
KIBAHA DC (PWANI)
1,532
1,350
88.12
9,097
7,919
87.05
KINONDONI(M) (DAR ES
SALAAM)
11,110
9,533
85.81
4,868
4,118
84.59
12,091
10,038
83.02
IRINGA(M) (IRINGA)
3,250
2,681
82.49
2,179
1,785
81.92
10
8.0
HITIMISHO
Matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi, 2014 yamewekwa
kwenye tovuti za Baraza la Mitihani, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya
Ufundi na Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI ili kila mtahiniwa aweze
kuona matokeo yake. Tovuti hizo ni,
www.matokeo.necta.go.tz,
www.necta.go.tz au www.moe.go.tz
www.pmoralg.go.tz
Baraza la Mitihani la Tanzania litawasilisha Matokeo hayo kwenye
Mamlaka zinazohusika ili zifanye uchaguzi wa watahiniwa wa
kujiunga na elimu ya Sekondari. Hivyo, matokeo ya uchaguzi wa
watahiniwa wa kujiunga na Kidato cha Kwanza yatatangazwa na
Mamlaka husika mara baada ya zoezi la uchaguzi kukamilika.