You are on page 1of 7

www.socialcompany.wapka.

mobi

FINANCIAL SERVICES Secure Online Application

WALIO MTANDAONI (13) JAZA FOMU SOCIAL CREDIT COMPANY ni Taasisi ya kifedha inayohusika na utoaji mikopo nafuu na isiyokua na riba kupitia mfuko maalum uitwao Social Credit & Loans kwa dhumuni la kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wakubwa nchini Tanzania kwa kuwapatia mikopo ya pesa kwa lengo la kumuinua kiuchumi mtanzania na kumletea maendeleo ili aweze kujikimu kimaisha kwa dhana yakinifu kutaka kutokomeza umasikini.

Taasisi ya Social Credit Company imeanzishwa mwaka 2003 ikiwa kama tawi zawa lisilojitegemea nakua kampuni binafsi iliyoingia ubia na Bank ya NBC (National Bank of Commerce) kwa makubaliano ya mikataba ya muda. Social Credit Company imemaliza

mikataba rasmi na Bank ya NBC hivyo imeanza rasmi kujitegemea na kuunda mfuko huu wa Social Credit & Loans.

Social Credit Company imeanza hatua za kutaka kusambaza matawi yake mikoa yote nchini Tanzania ili kila mtanzania aweze kupata huduma za mikopo kwa ukaribu, kwasasa Social Credit Company ina matawi matatu makuu katika mikoa mitatu (3) Dar es salaam, Kigoma na Dodoma ina jumla ya wafanyakazi 45 katika matawi tajwa kila mkoa.

MTANZANIA ATAWEZAJE KUPATA MKOPO? Mikopo inatolewa kwa kila mtanzania bila ya kuwepo na ubaguzi wa aina yoyote huduma zetu ni stahiki kwa kila mtanzania ambae ni mjasiriamali,mtumishi wa serekalini au mfanyakazi wa kampuni binafsi wote wanastahili kujiunga na kuwa washirika wetu na tutawapatia mikopo.

Wakati tukiwa katika maandalizi ya kusambaza matawi yetu katika kipindi hiki inamlazimu mteja wetu ambae anahitaji mkopo kuweza kujiunga kwa kujaza fomu ya maombi ya mkopo na kujiunga kupitia Online katika tovuti hii kwa kujaza fomu yetu na kulipia ada ya ushirika kiasi cha Tshs. 45,000 (elfu arobaini na tano) kupitia Mobile Banking M-PESA na TIGOPESA Baada ya mteja kujaza fomu yetu na kulipia ada Tshs. 45,000 fomu yake itapokelewa na bodi kuu ya utoaji mikopo pia malipo yake yatapokelewa na Muhasibu MR. ANTHONY SHILLIYE LUCAS baada ya hapo maombi yake ya mkopo yataidhinishwa na atapatiwa mkopo wake wa pesa ndani ya dakika 45. SIFA ZA KUJIUNGA UWE MSHIRIKA UPATE MKOPO Sifa kuu za mwanachama anaetakiwa kujiunga aweze kupata mkopo nikama zifuatazo:(i) UWE MUAMINIFU (ii) UWE NA AKILI TIMAMU (iii) UWE NA UMRI KUANZIA MIAKA 18 AU ZAIDI (iv) UWE MTANZANIA (v) UWE NA KITAMBULISHO KIMOJA WAPO KATI YA HIVI MPIGA KURA, BANK, CHUO, LESENI YA BIASHARA, LESENI YA GARI au KITAMBULISHO CHA KAZI KWANINI TUNATOA MIKOPO NAFUU YENYE MASHARTI RAHISI? Watanzania wengi wanaweza kujiuliza kwanini Social Credit Company inatoa mikopo kwa watanzania yenye masharti rahisi sana tofauti na asasi zingine walizozizoea kama bank na nyinginezo!? Sababu kuu ya kuweka masharti rahisi ni kutaka kumsaidia kila mtanzania kuweza kupata mikopo bila kumuwekea vikwazo vigumu ambavyo vitakatisha ndoto zake na kumfanya awe dhaifu katika maendeleo yake kwa kukosa mkopo kutokana na vigezo vyetu kua vigumu ikiwa dhamira yetu kuu ni kutaka kumsaidia kila mtanzania hivyo hakuna sababu yakuweka ugumu wa upatikanaji wa mikopo. KWANINI TUNATOA MIKOPO ISIYOKU NA RIBA? Mikopo hii haina riba kutokana na faida kuu mbili tuzipatazo kutoka katika kampuni za simu pindi mteja anapojaza fomu na kulipia ada kwa tigopesa au mpesa kuna asilimia fulani zinaingia katika kampuni yetu kupitia mitandao ya simu VODACOM na TIGO pindi mteja anapotuma pesa. pia ada zinazolipiwa na wateja wetu baada ya kujaza fomu

Tshs.45,000 inaingia katika mfuko wa Social Credit Company hivyo tunafaidika kwa asilimia kubwa kipato kinajitosheleza bila kuchukua riba MTEJA ATAUPOKEA MKOPO WAKE MUDA GANI? BAADA YA KUJAZA FOMU NA KULIPIA ADA Mikopo yetu haicheleweshwi kwa mteja wetu atakae jiunga kwa kujaza fomu na kulipia ada kiasi cha Tshs.45,000 atapatiwa mkopo wake wa pesa ndani ya muda muafaka Social Company imeondoa urasimu ili kumuwezesha mteja wetu kupata mkopo wake ndani ya dakika 45 baada ya maombi yake ya mkopo kuidhinishwa. MTEJA ANARUHUSIWA KUKOPA KUANZIA SHILINGI NGAPI? Mteja anaruhusiwa kuomba mkopo kuanzia Tshs. 200,000 (LAKI MBILI) Mwisho wa kukopa ni Tshs. 10,000,000 (MILLION KUMI) MTEJA ATAPOKEA VIPI MKOPO WAKE BAADA YA KUJAZA FOMU NA KULIPIA ADA? Katika fomu ya kujiunga kuna kipengele kinamtaka mteja ajaze njia itakayokua rahisi kwake kupokea mkopo wake kuna M-PESA, TIGOPESA, AIRTEL MONEY au Bank inategemea na kiasi cha mkopo mteja atakacho omba. Mkopo kuanzia Laki Mbili mpaka Million Tatu mkopo wake utatumwa kupitia M-Pesa, Tigopesa au Airtel Money. Kuanzia shilingi Million Nne mpaka Million Kumi mteja atatumiwa mkopo wake kwa njia ya Bank katika akaunti yake. Hivyo mteja atatakiwa kujaza namba ya M-Pesa, Tigopesa au Airtel Money katika fomu ili mkopo wake utumwe kwa njia ya Mobile Banking pia mteja anaweza kuandika akaunti namba zake za Bank ili apokee pesa zake kupitia Bank. Mara baada ya mteja kujaza fomu na kulipia ada elfu45 atapewa taarifa pindi tukishamtumia pesa zake. KWANINI MTEJA ANAJIUNGA ONLINE KATIKA MTANDAO? Tumeanzisha utaratibu huu wa kujiunga online kupitia katika mtandao kulingana na sababu kubwa ya upungufu au ukosefu wa matawi yetu kuto-enea katika mikoa yote Tanzania hivyo tumemrahisishia kila mtanzania ambae yupo mkoani na hakuna tawi letu na anahitaji kujiunga ili awe mshirika aweze kupata mkopo iwe njia rahisi kujiunga Online kupitia katika mtandao huu kwa kujaza fomu yetu na kulipia ada Tshs.45,000 kupitia M-PESA au TIGOPESA na tutaipokea fomu yake na tutampatia mkopo bila tatizo. MTEJA ANAE HITAJI KUFIKA KATIKA OFISI ZETU ATATUPATAJE? (Mawasiliano) Contacts Details UHURU STREET SCC MNAZI MMOJA BRANCH

1st FLOOR P.O.BOX 9282 MENEJA: +255 22 2135823 FAX: +255 22 2163448 Email: info@socialcompany.co.tz AINA ZA MIKOPO TUNAYOITOA KWA WATEJA 1. BIASHARA Mikopo ya biashara tunaitoa kwa wajasiriamali / wafanya biashara 2. MAENDELEO Mkopo wa maendeleo unatolewa kwa wateja wote ambao wanahitaji kufanya maendeleo binafsi kama kujenga nyumba, kununua gari, kununua kiwanja au vitu vya samani aidha ukarabati wa nyumba 3. ELIMU Mkopo wa elimu unatolewa kwa wanafunzi walio vyuoni kwa dhumuni la kuwasaidia kulipia karo mashuleni au kwa mahitaji binafsi ya elimu JINSI YA KUREJESHA MKOPO Mteja mara baada ya kujiunga kwa kujaza fomu na kulipia ada tukampatia mkopo atatakiwa kukaa miezi miwili bila kufanya marejesho na baada ya hapo ndio atatakiwa kuanza kufanya malipo ya mkopo wake KWA MFANO: Mteja kajaza fomu leo Tarehe 3 mwezi wa 5 na akalipia ada tukamtumia mkopo wake basi atatakiwa kuanza kurejesha mkopo kuanzia Tarehe 3 mwezi wa 7. Miezi miwili atakaa bila kulipia na baada ya hapo mteja ataanza kua anarejesha malipo ya mkopo wake kupitia namba yetu ya Vodacom kupitia M-PESA NAMBA ZA KULIPIA ADA YA KUJIUNGA NA MAREJESHO YA MKOPO Mteja akishajaza fomu atatakiwa kulipia Tshs. 45,000 Elfu arobaini na tano kupitia MPesa katika namba: 0756 310 988 au TIGOPESA katika namba 0714 254 735 ni muhimu kulipia na pia kwa wateja wa AIRTEL MONEY mnaweza kulipia toka katika akaunti za Airtel Money kuja Tigopesa au M-Pesa katika hizo namba zetu za Muhasibu wa kampuni ya Social Credit Company na pesa itatufikia. Hakikisha unapotuma pesa katika namba ya M-PESA jina litatokea ANTHONY SHILIYE pia kwa TIGOPESA hakikisha jina linatokea ANTHONY LUCAS ni majina ya muhasibu ambae ndie anaepokea malipo ya ada na marejesho pia kwa marejesho ya mkopo zinatumika namba hizo hizo

MAREJESHO YA MKOPO Mteja atatakiwa kurejesha kiasi chochote kile cha pesa kuanzia Tshs. 100,000 Laki moja kila mwezi mpaka deni lake litakapo kwisha haijalishi mteja atakua analipia shilingi ngapi ila kima cha chini kianzie Tshs. 100,000 mteja anaruhusiwa kuwa analipia laki moja au zaidi ya laki moja kulingana na uwezo wake kinachotakiwa aweze kukamilisha malipo ya

mkopo wake na marejesho yote yasivuke miezi 160. JIUNGE SASA UPATE MKOPO WA HARAKA NA NAFUU Kujiunga ni rahisi mtu yoyote anaruhusiwa kujiunga na atapatiwa mkopo. Unachotakiwa kufanya bofya katika Link / Kimvuli hapa chini kilichoandikwa JAZA FOMU HAPA utaiona fomu ya kujiunga ijaze fomu yote kisha itume kwetu baada ya hapo unatakiwa kulipia ada Tshs. 45,000 kupitia M-PESA katika namba 0756 310 988 au TIGOPESA katika namba 0714 254 735 pia kwa wateja wa Airtel mnaweza kulipia toka katika akaunti zenu kuja katika namba zetu hizo na tutapokea malipo yenu. ANGALIZO: Ni muhimu kulipia Tshs.45,000 ili kuchangia mfuko wa Social Company na mikopo itatolewa kwa wale ambao watajaza fomu na kulipia ada pekee Mikopo inatolewa kwa kila mtanzania, wajasiriamali na wasiokua wajasiriamali pia wafanyakazi wa makampuni binafsi na watumishi serekalini wanaruhusiwa kujiunga na watapatiwa mikopo. Bofya katika hii Link ifuatayo iliyoandikwa JAZA FOMU HAPA uweze kujiunga kwa kuijaza fomu na ulipie ada Tshs.45,000 tukupatie mkopo. Baada ya kujaza fomu na kulipia ada utapokea mkopo wako ndani ya dakika 45. JAZA FOMU HAPA

Super Download Speed, Only in UC Browserr

You might also like