Professional Documents
Culture Documents
OFISI YA RAIS
Simu Na: +255 (026) 2963630 Menejimenti ya Utumishi wa Umma
Nukushi: +255 (026) 2963629 na Utawala Bora,
Barua Pepe: ps@utumishi.go.tz Jengo la Taaluma Na. 1,
Tovuti: http://www.utumishi.go.tz Chuo cha Masomo ya Biashara na Sheria,
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM),
Barabara ya Mkalama,
S.L.P. 670,
40404 DODOMA.
Hii haiwezekani, mmesoma darasa moja, fani moja na mko cheo kimoja, lakini
mnalipwa mishahara tofauti wakati serikali ni moja, ni lazima mlifanyie utafiti
wa kina suala hili. Masilahi ya watumishi wa umma lazima yawe sawa Waziri
Mkuchika amesisitiza na kuongeza kuwa kumekuwa na malalamiko mengi
serikalini kuhusu tofauti kubwa ya mishahara miongoni mwa watumishi wa
Serikali Kuu na baadhi ya taasisi za serikali.